1942; Jinsi Ya Kuepuka Mabishano…

By | April 25, 2020
Kubishana ni jambo la hovyo sana unaloweza kufanya kwenye maisha yako. Kwa sababu linakupotezea nguvu na muda na hakuna manufaa yoyote unayoyapata kwenye kubishana. Hata kama utashinda ubishani, hutakuwa umemshinda uliyebishana naye, maana atazidi kusimamia upande wake. Hivyo basi, unapaswa kuepuka mabishano kwa namna yoyote ile uwezavyo kwa sababu hayatakunufaisha.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz