#TAFAKARI YA ASUBUHI; EPUKA UGOMVI…

By | May 2, 2020
“The beginning of a quarrel is like a flood which breaks through a dam. As soon as it rushes through, you cannot stop it.” —The TALMUD Kuanzisha ugomvi ni sawa na maji kuvunja bwawa, yakishatoka huwezi tena kuyazuia. Kuanzisha ugomvi ni sawa na kuwasha moto msituni, ukishakolea huwezi tena kuuzima.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz