1954; Kuhusu Kesho…

By | May 7, 2020
Hakuna yeyote mwenye uhakika ya kwamba kesho inakuwaje. Hata watabiri ambao wamekuwa wanapatia mara nyingi, bado anachotabiri leo kuhusu kesho hakina uhakika wa asilimia 100. Kuna vingi huenda vimetabiriwa huko nyuma na vikatokea, lakini kuhusu kesho, hakuna mwenye uhakika. Lakini pia hata pale mambo tunayotabiri yatatokea yanapotokea, madhara yake huwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz