1968; Masikio Yako Ni Dhahabu…

By | May 21, 2020
Kama kuna kitu ambacho kinaweza kukusaidia sana lakini unakichukulia poa basi ni masikio yako. Masikio yako ni dhahabu, ni hazina inayoweza kukupa chochote kile unachotaka. Hii ni kwa sababu, kila mtu huwa anaeleza wazi kile ambacho anataka au kutegemea kupata. Hivyo kama utakuwa mtu wa kusikiliza vizuri, utawaelewa watu vizuri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz