#TAFAKARI YA ASUBUHI; KILA WAZO LINA MADHARA…

By | June 11, 2020
“Every thought a person dwells upon, whether he expresses it or not, either damages or improves his life.” —LUCY MALORY Kila wazo unaloruhusu likae kwenye akili yako, Lina madhara kwenye maisha yako, Iwe utalifanyia kazi wazo hilo au la. Madhara ya wazo yanategemea aina ya wazo lenyewe. Kama wazo ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz