1990; Utajiri Wa Kweli…

By | June 12, 2020
Katika mapambano ya kuutafuta utajiri, watu wengi wamekuwa wanaangalia upande wa fedha tu, lakini kusahau eneo muhimu sana katika utajiri wa kweli, ambalo ni uhuru. Utajiri wa kweli siyo tu kuwa na fedha nyingi utakavyo, bali pia kuwa huru kadiri utakavyo kwenye maisha yako. Watu wengi wamepambana sana kupata fedha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz