#TAFAKARI YA ASUBUHI; SIYO KWA MANUFAA YAKO PEKEE…

By | June 16, 2020
“The improvement of society can be achieved only by the moral improvement of individuals.” – Leo Tolstoy Msukumo mkuu kwetu kufanya chochote kile ni yale manufaa tunayoyapata. Hasa pale kitu hicho kinapokuwa kigumu au kinachotugharimu wakati wa kufanya. Huwa tunaangalia ni manufaa gani ambayo tunayapata. Huwa hatukubali kuteseka mpaka tuwe

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz