1995; Hatua Tatu Za Kutengeneza Wateja Kwenye Biashara…

By | June 17, 2020
Iko wazi kwamba kuendesha biashara ni kugumu na kuna changamoto nyingi. Lakini ugumu na changamoto nyingine tumekuwa tunaziongeza wenyewe, kwa yale tunayofanya au kushindwa kufanya. Na moja ya maeneo ambayo tumekuwa tunaongeza changamoto kwenye biashara zetu ni kushindwa kutengeneza wateja wa biashara zetu. Hii ni kwa sababu wengi huingia kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz