MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2015; Saa Moja Ya Kufanya Kazi…
Kama ambavyo mwanafalsafa Seneca amewahi kuandika, tatizo la muda siyo kwamba ni wa uhaba na hautoshi, bali ni mwingi na tunautawanya hovyo. Ndiyo maana swali maarufu la kujiuliza kama leo ingekuwa siku yako ya mwisho hapa duniani ungefanya nini, linatusaidia sana kuweka vipaumbele vyetu sawa. Tunapojua kwamba bado tuna muda,