2022; Utumwa Hautaisha Duniani…

By | July 14, 2020
Tunaweza kufurahia kwamba enzi za utumwa zimepita na sasa kila mtu yuko huru. Kwamba kile kipindi cha watu kuuzwa na kununuliwa kisha kumilikiwa na watu kama mali binafsi kimepita. Kwamba zile zama za watu kufanyishwa kazi kwa shuruti na bila malipo hazipo tena. Ukweli ni kwamba, utumwa haujaisha, utumwa bado

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz