2038; Weka Wazi Misingi Yako Ya Biashara…

By | July 30, 2020
Kisichokuwa na msingi huwa hakidumu, hilo liko wazi. Watu wengi wamekuwa wanaingia kwenye biashara bila ya kuwa na misingi sahihi, misingi ambayo wataisimamia katika kipindi chote cha biashara na ambayo itawafikisha kwenye mafanikio. Hivyo kinachotokea ni watu kujikuta wanahangaika na mambo mengi yasiyokuwa na mchango kwenye biashara zao. Yanaweza kuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz