2067; Kitendawili Kilichopo Kwenye Maamuzi…

By | August 28, 2020
Zipo changamoto nyingi ambazo wengi wamekuwa wanakutana nazo wakati wa kufanya maamuzi na hizo kuwa kikwazo kwao kupiga hatua kwenye maisha yao. Kuna changamoto ya kuwahi kufanya maamuzi, hasa pale mtu anapokuwa anaendeshwa na hisia kali za furaha au hasira. Aina hii ya maamuzi huwa siyo sahihi na baadaye huwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz