#TAFAKARI YA LEO; KESHO HAIPO…

By | September 7, 2020
“The future does not really exist. It is created by us in the present.” – Leo Tolstoy Adui mkubwa wa mafanikio ya wengi ni kesho. Kuacha kufanya yale mtu amepanga kwa kujiambia atafanya kesho imekuwa inawahadaa wengi. Cha kusikitisha ni kwamba, hiyo kesho huwa haifiki. Hivyo ahadi ya nitafanya kesho

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz