MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUPOTEZA NI UNACHOFANYA…
“Unqualified activity, of whatever kind, leads at last to bankruptcy.” – Johann Wolfgang von Goethe Adui wa kwanza wa mafanikio yako ni wewe mwenyewe. Kikwazo kikubwa kwako kupiga hatua kwenye maisha, ni mambo ambayo unayafanya sasa. Kule unakopeleka nguvu zako, muda wako na umakini wako ndiko kunakopelekea wewe kubaki hapo