2084; Kukuza Hofu Au Kuchukua Hatua…

By | September 14, 2020
Kwa kila jambo unalopanga kufanya, kuna hatari ya kupata matokeo mabaya na hivyo kushindwa. Kila kitu kina hatari hiyo, hata uwe na uhakika kiasi gani. Hatari hiyo huwa inazalisha hofu ndani yetu, lakini kiwango cha hofu tunayokuwa nayo, huwa hakilingani na kiwango cha hatari. Hofu tunayokuwa nayo hua inakua kadiri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz