2085; Kusimamia Ukweli Kuna Gharama…

By | September 15, 2020
Kila kitu chenye thamani kwenye maisha, kina gharama, mafanikio yana gharama yake kubwa sana na ndiyo maana katika kila watu 100, ni mmoja pekee ambaye anakuwa na mafanikio makubwa. Moja ya gharama kubwa ambayo mtu unapaswa kulipa kwenye mafanikio, ni kusimama kwenye ukweli. Kinachofanya mmoja kati ya 100 ndiyo afanikiwe,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz