2089; Unasikiliza Watu Wa Aina Gani?

By | September 19, 2020
Hatua unazopiga na matokeo unayopata, vinategemea sana aina ya watu waliokuzunguka. Watu hao wanagawanyika kwenye makundi mawili na ndani ya kila kundi wanagawanyika mara mbili. Kundi la kwanza ni wale wanaokutia moyo na kukushauri upige hatua zaidi. Hawa wanakubaliana na kile unachofanya na wanakupa sababu ya kuendelea. Ni rahisi kuwapenda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz