2095; Kitu Pekee Anachujua Guru Na Usichojua…

By | September 25, 2020
Wahamasishaji, washauri, viongozi wa dini na watu wengine ambao watu wanawaamini na kuwatumia kama mwongozo kwao katika kufanya maamuzi mbalimbali, wamekuwa wanaonekana ni watu wenye uwezo fulani wa juu kuliko wengine. Kuonesha hilo, wale wenye mafanikio makubwa kwenye kuwashawishi wengi wafuate kile wanachowaambia, wamepewa jina la guru, ikiwa ni neno

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz