2096; Huo Muda Zaidi Umeutumia Kufanya Nini?

By | September 26, 2020
Muda ni changamoto kwa kila mtu, kila mtu hana muda na kila mtu anapoteza muda. Yaani ni sawa na kumkuta mtu anakulalamikia hana fedha, lakini wakati huo huo anachukua fedha na kuzitupa. Kwenye fedha inaonekana haraka, lakini kwenye muda haionekani, kwa sababu muda huwa unatuponyoka. Mtu anaweza kupambana apate muda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz