2102; Kwa Wengine Ni Mambo Ya Kawaida…

By | October 2, 2020
Ni rahisi kutoa ushauri kwa wengine, lakini ni vigumu wewe mwenyewe kuuishi ushauri unaowapa wengine. Hata pale mambo yanapowatokea watu wengine, ni rahisi kwetu kuwashauri na kuwapa moyo, lakini mambo hayo hayo yanapotutokea sisi wenyewe hatuwezi kutumia ushauri ambao tumekuwa tunawapa wengine. Kinacholeta hali hizi za tofauti ni hisia ambazo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz