2116; Kizazi Laini Laini…

By | October 16, 2020
Mtu mmoja amewahi kusema kama watu wanaoishi sasa watachukuliwa na kurudishwa kwenye aina ya maisha ambayo watu waliishi kwenye karne ya kwanza, basi karibu wote watafariki kwa haraka sana. Hii ni kwa sababu mazingira ya sasa ni rahisi sana ukilinganisha na mazingira ya kipindi hicho. Mazingira hayo rahisi yamefanya sehemu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz