2125; Kutafuta Sababu Za Kushindwa…

By | October 25, 2020
Kwa kuwa mafanikio ni magumu kupatikana na kwa kuwa kwenye mambo mengi ambayo mtu anaanza kufanya atashindwa, wengi wamekuwa wanatengeneza mazingira ambayo yatawapa sababu za kushindwa. Mfano mzuri ni kipindi ukiwa shule, japokuwa unajua una mtihani, unaweza usisome au usome kwa kujificha ili matokeo yanapotoka na ukawa hujafanya vizuri basi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz