2138; Madhaifu Uchwara…

By | November 7, 2020
Kila mtu huwa ana uimara na madhaifu yake. Lakini madhaifu tuliyonayo yanaweza kugawanyika katika sehemu mbili. Sehemu ya kwanza ni madhaifu ya kweli, yale ambayo mtu umezaliwa nayo na ni vigumu kuyabadili. Mfano kama wewe ni mfupi sana na unataka kucheza mpira wa kikapu, huwezi kujibadili na kuwa mrefu, hivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz