2148; Haikuwa Rahisi Kwao, Haitakuwa Rahisi Kwako…

By | November 17, 2020
Watu wote ambao walileta mapinduzi na mabadiliko makubwa kwenye kila eneo la maisha, ambayo tunayafurahia sasa, hawakukubalika kirahisi. Walipingwa, wakateswa na wengine kuuawa kwa sababu tu walifikiri tofauti na kundi kubwa lilivyokuwa linafikiri. Kwa upande wa falsafa, Socrates alikuja na njia mpya ya kuwajengea watu uwezo wa kufikiri, kuhoji na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz