2156; Ya Kila Mtu, Haina Mtu…

By | November 25, 2020
Moja ya sababu zinazopelekea mifumo ya kijamaa kushindwa ni kukosekana kwa uwajibikaji kwenye maeneo yanayotumia mfumo huo. Kwa kuwa kila kitu ni mali ya kila mtu, inakuwa vigumu kuwajibisha watu. Mtu anakuwa na uchungu pale kitu kinapokuwa chake, kuliko kinapokuwa cha wengine. Kwa kuwa kwenye mifumo ya ujamaa kila kitu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz