2173; Kwa Sababu Hawawezi Kuishi Bila Hivyo…

By | December 12, 2020
Kuna mashindano mengi huwa yanaendeshwa kuibua vipaji vya wasanii, yaani kupata wasanii wapya ambao kwa namna fulani hawapati nafasi ya kuonekana. Lakini wasanii wote wakubwa unaowajua, hawajaibuliwa na mashindani ya aina hiyo. Kuna mashindano mbalimbali ya kibiashara huwa yanafanyika, kuibua mawazo ya biashara ambayo watu wanayo na kuwapa nafasi ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz