2180; Kama Umeridhika, Inatosha…

By | December 19, 2020
Ni mara ngapi umefanya kazi au jambo ambalo umeridhishwa nalo kweli kweli. Unajivunia kwamba umeweza kufanya kitu ambacho ni tofauti na mazoea, zaidi ya ambavyo umekuwa unafanya. Lakini baadaye mtu mwingine anakuja na kukosoa kile ulichofanya na kukuambia hakuna ulichofanya kabisa, ni kitu cha hovyo. Unakubaliana naye, unajidharau, unaamini kweli

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz