#TAFAKARI YA LEO; FUATA USHAURI WAKO MWENYEWE…

By | December 28, 2020
Bila shaka umeshatoa ushauri kwa watu wengi kwenye hali mbalimbali wanazopitia. Labda ni mtu alipata msiba na kumpa ushauri kwamba aliyefariki amepumzika pema. Au ni mtu aliyepata hasara au kupoteza kitu na ukamshauri kwamba kwa kuwa bado yuko hai, basi anaweza kupoteza chochote alichopata. Cha kushangaza sasa, wewe ukiwa kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz