2194; Utakapokuwa Unavuta Pumzi Yako Ya Mwisho…

By | January 2, 2021
Siku utakayokuwa unavuta pumzi yako ya mwisho hapa duniani, kuna mambo utajivunia kwa kuyafanya na kuna mambo utajutia kuyafanya. Hiki ni kitu ambacho wengi huwa hawakifikirii mapema, lakini wanapofika ukingo wa maisha yao ndiyo wanapata nafasi ya kuyatafakari maisha yao, huku wakiwa hawana cha kubadili. Lengo lako kwenye maisha ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz