#TAFAKARI YA LEO; USIPOST UJINGA, FANYA KAZI…

By | January 11, 2021
Mitandao ya kijamii imewageuza watu kuwa misukule wanaofanya kazi bila kulipwa. Inawahadaa watu kwa umaarufu feki unaopatikana kwa kupost vitu vya kijinga mtandaoni. Lakini umaarufu huo hauna manufaa kwa mtu zaidi ya kumharibia sifa yake. Umaarufu wenye manufaa ni ule unaotokana na kazi inayotoa thamani kwa wengine, ila huo unahitaji

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz