2206; Mambo Muhimu Kujikumbusha Kuhusu Fedha…

By | January 14, 2021
Nimekuwa naandika mara nyingi kuhusu fedha na hapa nimekusanya yale muhimu unayopaswa kuyajua kila wakati kuhusu fedha. Siyo mapya, ila ni ya kujisisitizia uyaelewe kwa undani. Ongeza kipato chako, kila wakati pambana kukiongeza. Dhibiti matumizi yako, yasikue kuzidi kipato. Kuwa na akiba ya dharura angalau miezi 6 mpaka 12 ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz