#TAFAKARI YA LEO; KIKUTOKACHO KIPO NDANI YAKO…

By | January 16, 2021
Kama mtu amekukasirisha na kisha ukamtukana, tatizo siyo hasira ambayo umekuwa nayo, bali tatizo ni matusi yaliyo ndani yako. Huwezi kutoa kitu ambacho hakipo ndani yako. Kama hujui kuongea lugha ya kichina, hata ukasirishwe kiasi gani, hutaiongea, kwa sababu haipo ndani yako. Kwa mambo yote unayofanya au kusema na baadaye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz