#TAFAKARI YA LEO; HESHIMU UNACHOJIFUNZA NA KUFANYA…

By | January 17, 2021
Kujifunza kitu mara moja haitoshi, unahitaji kurudia rudia. Kufanya kitu mara moja haikufikishi kwenye mafanikio makubwa, unapaswa kufanya mara kwa mara, kwa muda mrefu. Hapo ndipo inapokuja changamoto ya mazoea. Kwa sababu umekuwa unajifunza kitu kwa kurudia, unajiambia tayari unajua. Kwa sababu umekuwa unafanya kila siku, unajikuta ukifanya kwa mazoea.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz