#TAFAKARI YA LEO; FURAHA SIYO RAHA MUDA WOTE…

By | January 18, 2021
Hadithi za utotoni zilikuwa zinamalizia na baada ya mateso wakaishi kwa raha mustarehe maisha yao yote. Hizo ni hadithi na siyo uhalisia. Hakuna maisha ya raha muda wote, kila wakati kuna ugumu au changamoto unakabiliana nayo na ukivuka inakuja nyingine. Furaha kwenye maisha ni kujua maana ya maisha yako, kujua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz