#TAFAKARI YA LEO; MADHARA YA FIKRA CHANYA.

By | January 20, 2021
Tumeshajifunza sana manufaa ya fikra chanya, namna zinavyotuwezesha kuziona fursa zaidi na kutupa matumaini badala ya kukata tamaa. Lakini kila lenye faida huwa pia lina hasara zake. Fikra chanya pia zina madhara kama haziambatani na matendo chanya. Kuna watu wanakuwa na fikra chanya kweli kweli, lakini hakuna hatua zozote chanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz