2214; Usiwazuie Kushindwa…

By | January 22, 2021
Wazazi ambao walipitia magumu wakati wa utoto wao, hupambana ili watoto wao wasipitie magumu kama waliyopitia wao. Wanafanya hivyo kwa nia njema, lakini kama tulivyoona kwenye ukurasa wa jana, nia njema huja kuzalisha matokeo yasiyo mazuri. Katika kumzuia mtoto asipitie magumu, mzazi anaondoa kabisa kila nafasi ya kushindwa na hivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz