#TAFAKARI YA LEO; MATOKEO HAYAHALALISHI NJIA…

By | January 28, 2021
Watu wamekuwa wanatumia njia zisizo sahihi ili tu kupata matokeo wanayoyataka. Wakiamini kilicho muhimu ni matokeo na siyo njia iliyoleta matokeo hayo. Wanaamini matokeo yakiwa mazuri basi njia itakuwa sahihi. Lakini hilo siyo kweli, tumeona wengi wakianguka baada ya kupata matokeo waliyotaka kwa sababu njia walizotumia hazikuwa sahihi. Hakikisha unaanza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz