#TAFAKARI YA LEO; UONGO NDIYO MSINGI WA MAOVU…

By | January 31, 2021
Kila uovu unaofanyika, huwa unaanzia kwenye uongo. Tena uongo unaanza kidogo, lakini unaendelea kukua ili kulinda uongo wa mwanzo. Lakini pia mtu anapotumia uongo na ukamfanikishia kile anachotaka, anashawishika zaidi kuendelea na uovu mwingine. Wengi huanza na uongo kidogo, wakijiambia hawataendelea hivyo, lakini uongo huo unapowapa wanachotaka, wanajikuta wakiendelea nao

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz