#TAFAKARI YA LEO; SIYO KINACHOFANYWA, BALI ANAYEKIFANYA…

By | February 10, 2021
Watu hufikiri kuna kazi au biashara ukizifanya mafanikio ni uhakika. Hilo siyo kweli, kwenye kila kazi na biashara, kuna waliofanikiwa na walioshindwa. Kinachowatofautisha watu hao ni sifa zao za ndani. Wale wanaofanikiwa wana sifa za tofauti kabisa na wanaoshindwa. Sifa za mtu zina nguvu na mchango mkubwa mno kwenye mafanikio

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz