#TAFAKARI YA LEO; MAAMUZI MAKUBWA YANAFANYWA NA WACHACHE…

By | February 16, 2021
Maamuzi yoyote makubwa na muhimu huwa yanafanywa na watu wawili mpaka watatu wenye ushawishi mkubwa na kisha kusukumwa kwa wengine wakubaliane nayo na kuonekana ni maamuzi ya wengi. Ni vigumu kwa watu wengi kufikia maamuzi kwa pamoja kwa sababu kila mtu anakuwa na mtazamo wake ambao unatofautiana na wa wengine.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz