#TAFAKARI YA LEO; ANZA NA ULICHONACHO…

By | February 17, 2021
Kwa malengo na mipango uliyonayo, hapo ulipo tayari una vitu vingi unavyoweza kuanza kufanya. Lakini wengi huwa hawaanzi, badala yake wanatafuta sababu za kwa nini hawawezi kuanza. Kila mtu huwa anapata kile anachotafuta, anayetafuta sababu za kutokufanya kitu anazipata na anayetafuta mahali pa kuanzia anapapata. Wewe unataka nini, kama ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz