#TAFAKARI YA LEO; KABLA JAMBO HALIJAKUSUMBUA…

By | February 21, 2021
Kabla hujaruhusu jambo lolote likusumbue au kukupa wasiwasi, jua kwanza kama lipo ndani au nje ya uwezo wako. Lililo ndani ya uwezo wako ni lile unaloweza kuchukua hatua na ukalibadili na lililo nje ya uwezo wako ni lile ambalo hakuna hatua unaweza kuchukua. Mfano umetoka nyumbani kuna mahali unataka kuwahi,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz