2246; Mhimili Usioyumbishwa…

By | February 23, 2021
James Altucher, mwandishi na mwekezaji wa nchini Marekani amekuwa akiandika kuhusu makosa mbalimbali aliyofanya kwenye maisha yake na yakapelekea apate matokeo mabovu pamoja na kuingia kwenye matatizo makubwa. Amekuwa akieleza kwamba ameshaanzisha biashara 20, 18 kati ya hizo zikashindwa kabisa. Anaeleza amewahi kuuza kampuni yake na kuwa milionea, lakini miaka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz