#TAFAKARI YA LEO; JICHELEWESHE UNAPOKUWA KWENYE HALI HII.

By | February 25, 2021
Unapogundua kwamba upo kwenye hali ya kusukumwa na husia zaidi kuliko fikra, basi jicheleweshe. Hisia zina tabia ya kukufanya uone unapaswa kuchukua hatua mara moja, ila hatua unazochukua ukiwa kwenye hali hiyo huwa siyo nzuri kwako. Ukiwa kwenye hasira chelewa sana kuchukua hatua yoyote ile, jipe muda zaidi. Hasira zitakaposhuka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz