2255; Mashindano Yasiyo Na Zawadi…

By | March 4, 2021
Jamii ikitaka kututega tufanye kitu, huwa inakiweka kwa namna ya mashindano. Kukishakuwa na hali ya kushindana, hata kama ushindi hauna zawadi, mtu utasukumwa kushindana ili ushinde. Unafikiri nini kinafanya mitandao ya kijamii ipate watumiaji wengi na wanaoitumia kwa muda mrefu? Ni hali ya mashindano, pale mmoja anapoona mwenzake ana wafuasi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz