#TAFAKARI YA LEO; MATATU YANAYOKUKWAMISHA…

By | March 13, 2021
Kutokujua hasa kile unachotaka, kutokujitoa hasa kupata unachotaka na kuwa na mbadala ni vikwazo vikubwa vitatu kwa mafanikio yako. Kama hujui kile unachotaka, kila mara utayumbishwa na wanayofanya wengine, ukiona wanafanya hiki na wewe unajaribu, wakifanya kile unajaribu pia. Mwisho wa siku unakuta muda umeenda na hakuna cha tofauti umepata.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz