#TAFAKARI YA LEO; TUMIA FIKRA ZAKO VIZURI…

By | March 20, 2021
Fikra zako zina nguvu ya kuumba chochote kile, kiwe kizuri au kibaya. Ni wajibu wako kutumia nguvu hiyo ya fikra kutengeneza ndoto kubwa na nzuri kwako na kuziamini kisha kuzifanyia kazi. Hata kama umefungwa kimwili au mwili unateswa, usiruhusu akili na fikra zako zifungwe au kuteswa. Hata kama unapitia magumu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz