#TAFAKARI YA LEO; UPENDO…

By | March 30, 2021
Falsafa kuu ya mafanikio inayotuongoza kwenye safari nzima ni upendo. Kwa kujipenda sisi wenyewe tunajikubali tulivyo na kuwa sisi, badala ya kutaka kuwa kama wengine. Kwa kuwapenda wengine tunawakubali na kuwapokea walivyo na kuona njia bora ya kushirikiana nao, bila kutaka wawe tofauti. Kwa kupenda kile tunachofanya hakiwi tena kazi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz