#TAFAKARI YA LEO; HESHIMA NI BORA KULIKO KIKI…

By | April 8, 2021
Watu wanaotaka mafanikio kwa njia za mkato, huwa wanakimbilia kutumia kiki. Kufanya mambo ya kijinga ambayo yanawapa umaarufu wa haraka, lakini usio na heshima. Umaarufu wa aina hiyo huwa haudumu muda mrefu na huacha madhara makubwa. Wewe jenga mafanikio na umaarufu wako kupitia heshima na heshima inajengwa kupitia kutoa thamani

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz