2301; Kinachokukasirisha kikutofsutishe…

By | April 19, 2021
2301; Kinachokukasirisha kikutofsutishe… Sheria ya kwanza na muhimi sana kwenye biashara ni kuwa na kitu kinachokutofautisha na wafanyabiashara wengine. Kuwa na kitu au vitu ambavyo wateja wanavipata kwako tu na hawawezi kuvipata sehemu nyingine yoyote. Yaani hata kama bidhaa au huduma yako itaondolewa jina na nembo, bado mteja aweze kuitambua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz